Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo na Maliasili Mhe. Mtumwa Kheir Mbarak akivuna mbegu za mpunga pamoja na wanakikundi cha Nguvu Kazi Tusizembee katika uzinduzi wa uvunaji wa mbegu za mpunga huko Kisongoni Wilaya ya Kaskazini A Unguja tarehe 10/6/2013: Maelezo zaidi>>>
Waziri wa Nchi Afisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais Mhe. Fatma Abdulhabib Fereji akihutubia katika kongamano la tatu la Mapitio ya Tafiti za Kilimo katika ukumbi wa Salama Hall wa Hoteli ya Bwawani Zanzibar tarehe 4/6/2013: Maelezo zaidi>>>
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein akizungumza na wananchi wa bonde la Kibokwa Mchangani Wilaya ya Kaskazini A Mkoa wa Kaskazini Unguja tarehe 13/3/2013: Maelezo zaidi>>>
Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo na Maliasili Mhe. Mtumwa Kheir Mbarak akimkabizi pesa taslim mwenyekiti wa kamati ya uhifadhi rasilimali misitu na wanyama Nd. Ali Othman huko Mtende Wilaya ya Kusini Mkoa wa Kusini Unguja tarehe 24/2/2013: Maelezo zaidi>>>
Makamu wa Pili wa wa Rais Mhe. Balozi Seif Ali Iddi akizindua rasmi jengo la Dakhalia la Chuo cha Kilimo Kizimbani Wilaya ya Magharibi Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja tarehe 5/1/2013: Maelezo zaidi>>>
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein akizindua rasmi Sensa ya kuhesabu miti kitaifa katika Hifadhi ya Msitu wa Taifa Jozani – Ghuba ya Chwaka Wilaya ya Kusini Mkoa wa Kusini Unguja tarehe 13/12/2012: Maelezo zaidi>>>
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein azindua mashine za kuvunia mpunga (Combine Harvester) katika shamba la mbegu liliopo Bambi Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja siku ya tarehe 6/8/2012: Maelezo zaidi>>>
![]()
Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi alifanya ziara ya siku tatu katika Mkoa wa Kusini Unguja ya kukagua kazi za Maendeleo na Kilimo kuanzia tarehe 07/05/2012 hadi tarehe 09/05/2012: Maelezo zaidi>>>